Manywele
Samuel Mulokwa Masawi
language
(Longhorn Publishers and Worldreader, Feb. 20, 2017)
Hadithi hii, ilioandikwa katika mtindo wa hekaya, inasimulia kinagaubaga maovu ya uhasama wa ukabila. Kitabu hiki, chenye kuchangamsha na vibonzo maridadi, kinamchukua msomaji hadi mkoa mwa magharibi wa Kenya. Msomaji hachelewi kupata ujumbe uliomo.